Makamu wa rais wa UTPC Jane Mihanjo akimkabidhi mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Lindi Abdulaziz Ahmeidvitendea kazi kushoto ni mkurugenzi mtendaji wa UTPC Bw Karsan.
Kamera za Kisasa kabisa.
Muungano wa vilabu vya waandishi wa habari Tanzania umetoa vifaa vya kazi (vitendea kazi) vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 35 kwa kila klabu ya wanahabari Mikoani kwa lengo la kuboresha utendaji kazi, weledi na kujenga uchumi wa vilabu hivyo,wakati wa kukabidhi vifaa hivyo kwa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Lindi jana.

 Makabidhiano hayo yaliyofanyika katika ofisi za Dar City Press Club, vifaa ambavyo ni pamoja na kamera, KOMPYUTA,Runinga na zana za kisasa za mikutano na semina (projector) Ikiwemo machine yakopi(Photocopy),Makamu wa Rais wa UTPC,Bi Jane Mihanji alimkabidhi vifaa hivyo Mwenyekiti wa Lindi Press club,Abdulaziz Ahmeid na amehimiza utunzaji wa zana hizo pamoja na nidhamu ya matumizi ili kukomboa waandishi Mikoani ikiwemo kujiongezea kipato.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. hapo ndugu zangu wa UPTC mhastahili pongezi.

    aliyejenga wazo hili anastahili kufagiliwa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...