.Kamati ya uchaguzi ya Shirikisho la Vyama Vya Soka Nchini (TFF) Toka kushoto ni wakili  Karuwa, Hamidu Mbwezeleni, mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi Deo Lyato, wakili wa Jamal Malinzi  Audats Kahendaguza, Jamali Malinzi na wakili wa Agape Fue, Peter Heller, ambaye  alimkatia Jamal Malinzi rufaa kwa madai kuwa hana uzoefu wa miaka mitano na pia alipinga mabadiliko ya katiba ya TFF  hapo walikuwa wanasikiliza rufaa ya Malinzi. Kupata yaliyojiri  leo BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...