Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue (wa tatu kulia) akisikiliza maelezo Kibenki kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania,Sabasaba Moshingi (kulia) wakati wa ziara ya Balozi Sefue kutembelea Matawi ya Benki ya Posta ya Jijini Dar es Salaam leo,ambapo ametembelea Matawi ya Kariakoo,Mkwepu na Makao Makuu ya Benki ya Posta.

Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue akizungumza na Wakurugenzi wa Benki ya Posta Tanzania katika makao makuu ya Benki hiyo yaliopo mtaa wa Samora jijini Dar es Salaam,mara baada ya kufanya ziara ya kutembelea matawi ya Benki hiyo jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi wa Uendeshaji na Teknohama wa Benki ya Benki ya Posta Tanzania,Jema Msuya (kushoto) akifafanua jambo kwa Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue wakati alipotembelea Tawi la Mkwepu jijini Dar es Salaam leo.
 Meneja wa Benki ya Posta Tanzania Tawi la Mkwepu jijini Dar es Salaam,Ayub Sapi Mkwawa (kushoto) akisalimia na Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue ( wa pili kulia) wakati alipowasili kwenye tawi hilo leo.kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania,Sabasaba Moshingi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Meza ndogo pembeni ingefaa kuweka vinywaji. Haya mafuriko ya vimiminika ktkt ya wajumbe yanaleta picha mbaya!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...