Home
Unlabelled
BALOZI WA UAE NCHINI AMUAGA DKT SHEIN
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mhe. Sheikh Balozi wa UAE anatoa kicheko na tabasamu cha kuashiria ya kuwa anakwenda kule tende na maziwa ya ngamia kwao UAE baada ya kuzi miss kwa muda mrefu akiwa huku!
ReplyDeleteIngawa kwa muonekano wake unaweza kumfikiri labda na yeye ni Maganga kama sisi!
Ndiyo, balozi huyu ni mweusi (mwarabu mweusi). Si waarabu wote weupe, kuna masalia ya utumwa.
ReplyDeleteHuyo ni maganga lakimi kule wanaheshimiwa sana tena wako wengi akina Girgir.
ReplyDeleteMuadhin wa kwanza wa msikiti wa madina enzi za mtume Muhammad (SAW) na katika waafrika wa kwanza kuslim alikuwa ni Hamza ambaye ni mwafrika sasa kizazi chake kweli kitakuwa kimepotea. Na walikuwa wengi.
ReplyDeleteNa kweli watumwa walikuwa wengi wakati huo lakini hawakubaguliwa kama walivyobaguliwa huko marekani.
Si Watumwa tu ndio wameproduce vizazi hivi. Waafrika(watu weusi) walikuwepo maeneo hayo toka enzi na enzi. Soma historia tofauti si hivi vitabu viliandikwa na waliotutawala. Vinapenda kuanzia historia ya mwafrika na Utumwa au Ukoloni. Kumbe tulitawala mpaka sehemu za kunakojulikana kama uarabuni.
ReplyDeletealikuwa ni Hanza au Bilal? nadhani ulimaanisha Bilal ndie aliyekuwa Muadhini wa Kwanza wa Msikitini wa madina.
ReplyDeleteMuadhin wa kwanza wa msikiti wa madina enzi za mtume Muhammad (S.A.W) na katika waafrika wa kwanza kuslim alikuwa Bilal sio Hamza.
ReplyDelete