Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 16 mpaka sasa

  1. Jamaa anaongea utadhani kameza radio!!

    ReplyDelete
  2. hivi hao jamaa walimaliza hata darasa la 7?au wanafanya comedy kama kina joti?? tupo nje ya nchi sote na maisha na mazingira ya huku wote tunayajua.ukiwa unaishi kwa maisha ya box huku utapaona peponi,lakini kama una taaluma yako,huwezi ukakaa na kuwakandia wabongo wenzako au nchi yako.kwa taarifa yenu kwa mwenye taaluma yake,miaka 5 hadi 10 inatosha kabisa kwenda kujenga pepo yako bongo!!

    ReplyDelete
  3. Hawa jamaa pamoja na kwamba watu wanawarushia madongo lakini kiukweli vitu vingi wanavyoongea ni vya KWELI tupu...sawa hawako kimpangilio but always "message delivered"...wanaongea sense na wanawafundisha pia..big up guys i like the way u talk simple but message sent n' delivered!!!
    Mdau wa London.

    ReplyDelete

  4. watu wataponda lakini jamaa wanaongea ukweli kabisaa atakaebisha ujue yame mkuta

    nakubali kwamba hawa wanaonekana waswahili kutokana na elimu hakuna lakini jamaa wanaongea ukweli kabisaa
    tena wasichana wa bongo ndo usiseme hawafaiii

    ReplyDelete


  5. me naomba email au namba za hawa watu ili nikifika huko wakati wa likizo ni watafute hawa hata niki umwa watanisaidia na uhakika sio watu wengine wanao ishi huko

    ReplyDelete


  6. sio kweli marekani hakuna kazi kabisaa tena walivyo tangaza strict immigration policies ndo watarudi woote

    jamaa noma wanaongea ukweli

    ReplyDelete
  7. Ughaibuni wote tunajua kama ukiwa na makaratasi mambo yako mazuri. Hata kama huna pesa sawa welfare au benefit utapata. Tatizo kwa wazamiaji ndio kubwa. Mzamiaji hawezi kudai haki, akiumwa anaogopa kwenda hospitali, kazi inabidi adhulumiwe mpaka siku apate makaratasi. Hivyo ndio sababu kubwa watu wanashindwa kustahamili na kusema bora bongo. Nchi za EU sasa wanaweka mkakati mkali kuhusu wazamiaji. UK wamenunua ndege maalum ya kurejesha wazamiaji majumbani kwao. Pia nakubaliana na mdau hapo kitu kibaya kinachowarejesha nyuma wazamiaji wengi ni ndugu zao nyumbani. Ushauri wangu ni ule ule watu wajitahidi kufanya kazi kwa bidii popote pale walipo duniani. Atakaye bahati kufika ughaibuni basi asikate tamaa kirahisi.

    ReplyDelete


  8. hahahaha balaaa
    hawa watu akili zao zinawatosha wenyewe kabisaa wala sio bure ila wana furahisha sana

    ReplyDelete
  9. Hi Bro Michu!!!,

    NampongezasANA JAMMAA ALIYEVAA SHATI JEUPE KWA UKELEZA UKWELI WA MAISHA YA uGHAIBUNI NA KWA HEKIMA ZAKE ZOTE NINGEPENDA MAONGEZI HAYA YAFIKISHWE ITV ili watanzania wenzetu waliopo hapo Bongo wajue kuwa Ughaibuninsi lelemama!!!!!!!!!!!! ispokuwa akili kichwani na ushirikiano sio Visa wqala hasira , havileti maendeleo kimaqisha hususani ukiwa ughaibuni. Alichokielezea ni kweli na ndivyo inavyofanyika na kutendeka kila siku!! na itabakia hivyo vizazi vyote kama hatutakubali sisi wenyewe kubadilika kimaadili , kimila , kiutamaduni, kifikra na kimienendo. Naomba msemaji mkuu wa mjadala huu yaani mwenye hati jeupe) tuwasiliane kwenye email:bennyngasa@yahoo.de.
    Nitashukuru ukuniwakilishia ujumbe huu bro!!!!!

    ReplyDelete
  10. Mnajitahidi kurekebisha nadhani siku zijazo itanoga zaidi.

    ReplyDelete
  11. Tena boss Benja umesahau ungekumbusha pia ughaibuni sio hakuna neno njaa tu bali huku kuku ni kama maharage...I mean ni mboga ya kila siku sio mpaka Xmas..heeheehee.

    ReplyDelete
  12. Baba nyoka wambie hayo hawajakaa mtaani. Walikua madeleva wa sinia bongo

    ReplyDelete
  13. Hiki kipindi nakifagilia,jamaa wanachekesha na wanatumia njia rahisi kufikisha ujumnbe wao.Kuna mambo madogo ya kurekebisha,lakini kazi ni nzuri.BIG UP.

    ReplyDelete
  14. Jamaa Anonymous wa kwanza kabisa kwenye maoni, dah!!! umenichekesha sana, eti jamaa "Jamaa anaongea utadhani kameza radio!!" Yaani nipo kazini ofisini wezangu wanashangaa nacheka nini. Anyway, jamaa wanaongea mambo ya kufundisha na ukweli. Maana jamaa Bongo ukiwaambia bwana huko kazi iko hivi au vile wanabisha wanasema mbona wewe urudi? au huko hivyo?! Lakini wanasahu kila mtu na bahati yake, wengine ujanja wao, wengine kweli bado wanasaidiwa toka Bongo na wazazi zao. Mie kwangu naona ugumu wa maisha Marekani ni kutokuwa na umoja wa kiAfrica,ushirikiano. Sababu watu wakifika hapa kila mtu kivyake vyake.

    ReplyDelete
  15. hahahahaha nimependa mzungumzaji alipomwambia ''sasa ndo ivyo bwana jabiri najua kinachokuumiiza wewe ni child support'' kwa hiyo Jabiri anaumizwa kweli na mkewe

    ReplyDelete
  16. hahahaha majina ya watoto shawwan, shakwinti, shankwiraa, mwishoo kiwandaaaa hahahahaha bwana jabiriii weeee

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...