Spika wa Bunge Anne Makinda akitoa ufafanuzi hali iliyotokea Bungeni leo.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu(TAMISEMI) Hawa Ghasia (kushoto) akimsikiliza Mhandisi Stella Manyanya (Viti maalumu) kuhusu yaliojiri Bungeni leo.
Mbunge wa Moshi Mjini Philemon Ndesamburo (kushoto)pamoja na Said Arfi (Mpanda Mjini)wakifuatilia hoja mbalimbali Bungeni leo Dodoma.
Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Abdalla Kigoda (kulia) akibadilishana mawazo na Naibu Wazri wa afya na Ustawi wa Jamii Dkt Seif Rashid katika viwanja vya Bunge leo baada ya kuahirishwa mkutano wa kumi, kikao cha sita.
Waziri wa Maji Prof. Jumanne Maghembe (kushoto) akiongea na John Mnyika (Ubungo) katika viwanja vya Bunge leo, baada ya hoja yake binafsi kukataliwa Bungeni.
Mbunge wa Same Mashariki Anne Kilango Malecela (kushoto) akiongea na William Ngeleja (Sengerema)katika viwanja vya Bunge baada ya Spika wa Bunge Anne Makinda (hayupo pichani) kuahirisha kikao hadi kesho.Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...