Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori akifafanua jambo wakati mkutano na wafanyakazi wa Kampuni ya Mwananchi Communications kuhusu mikopo ya Saccos kwa wanachama wa NSSF. Kushoto ni Meneja Kiongozi, Uhusiano wa NSSF, Eunice Chiume na Meneja Mipango na Uwekezaji wa Shirika hilo, Mseli Abdalah. 
Mhariri Mtendaji wa Mwananchi Communications Ltd, Bakari Machumu akizungumza wakati wa mkutano na viongozi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kuhusu mikopo ya Saccos.
 Meneja Mipango na Uwekezaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mseli Abdalah akifafanua jambo kuhusu mikopo ya Saccos kwa wanachama wa NSSF wakati wa mkutano na wafanyakazi wa Mwananchi Communications Ltd jijini Dar es Salaam. Kushoto ni  Mhariri Mtendaji wa Mwananchi Communications Ltd, Bakari Machumu, Meneja Kiongozi, Uhusiano wa NSSF, Eunice Chiume na Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori.
Mwenyekiti wa  Saccos ya Mwananchi Communications Ltd, Haura Shamte akifafanua jambo wakati wa mkutano huo.
Mpoki Bukuku akizungumza wakati wa semina iliyoandaliwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa wafanyakazi wa Mwananchi Communications Ltd kuhusu mikopo ya Saccos kwa wanachama wa NSSF.  
 Wafanyakazi wa Mwananchi Communications wakiwa katika mkutano huo.
Meneja Mipango na Uwekezaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mseli Abdalah akitoa mada kuhusu mikopo ya Saccos kwa wanachama wa NSSF wakati wa mkutano na wafanyakazi wa Mwananchi Communications Ltd jijini Dar es Salaam, leo.Picha na Francis Dande.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...