Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe (wa pili shoto) akiwa na viongozi wa mkoa wa Lindi na wa kampuni ya Meis Industries inayojenga bonge la kiwanda cha Saruji pamoja na wakandarasi, akikagua maendeleo ya ujenzi wa kiwanda hicho ambacho kitapokamilika kitakuwa na uwezo wa kuajiri wananchi zaidi ya 7,000.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...