Jioni hii mdau Gerson Msigwa wa TBC (shoto) amegongana na kocha wa timu ya Taifa, Taifa Stars,  Kim Poulsen, katika lift Tansoma Hotel jijini Dar es salaam. Amemweleza Gerson kuwa  kikosi cha Taifa Stars kipo safi kuwakabili Morocco. Kila la kheri Taifa Stars, anasema Gerson Msigwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...