Meneja wa huduma za ziada wa Vodacom Tanzania,Bw.Benjamin Michael akimkabidhi hundi yenye thamani ya shilingi Milion moja Bw.Andrew Mwakagenda ambae aliibuka mshindi wa promosheni ya "MAHELA"inayoendeshwa na kampuni hiyo,katikati anaeshuhudia ni rafiki yake mshindi huyo Bw.Patrick Kwai.Mteja anatakiwa kutuma neno"MAHELA"kwenda namba 15544 na kuweza kujishindia.Zaidi ya shilingi Milioni 180 zinaendelea kushindaniwa.
Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania Bw.Matina Nkurlu(kushoto)akimkabidhi hundi yenye thamani ya shilingi milioni tano,Bw.Clement Semalobe mkazi wa jijini Dares Salaam alijishindia kitita hicho kupitia promosheni ya 'MAHELA' inayoendeshwa na kampuni hiyo,katikati anaeshuhudia ni Meneja wa huduma za ziada wa Vodacom Tanzania,Bw.Benjamin Michael.Mteja anatakiwa kutuma neno"MAHELA"kwenda namba 15544 na kuweza kujishindia.Zaidi ya shilingi Milioni 180 zinaendelea kushindaniwa.
Bw.Andrew Mwakagenda ambae aliibuka mshindi wa promosheni ya "MAHELA"inayoendeshwa na kampuniya Vodacom Tanzania,akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani baada ya kupokea hundi yake yenye thamani ya shilingi Milioni moja,Kulia ni Meneja wa huduma za ziada wa Vodacom Tanzania,Bw.Benjamin Michael.Mteja anatakiwa kutuma neno"MAHELA"kwenda namba 15544 na kuweza kujishindia.Zaidi ya shilingi Milioni 180 zinaendelea kushindaniwa.
Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania Bw.Matina Nkurlu(kulia)akiwasiliana kwa njia ya simu ya mezani na mmoja wa washindi Bw.Alphonce Kusekwa mkazi wa Tanga aliejishindia shilingi million tano kupitia promosheni ya 'MAHELA' inayoendeshwa na kampuni hiyo,wanaoshuhudia kutoka kushoto ni Msimamizi wa Michezo ya kubahatisha nchini Bw. Abdallah Hemedy na Meneja wa huduma za ziada wa Vodacom Tanzania,Bw.Benjamin Michael Mteja anatakiwa kutuma neno"MAHELA"kwenda namba 15544 na kuweza kujishindia.Zaidi ya shilingi Milioni 180 zinaendelea kushindaniwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...