Jumuiya ya uongozi wa wanafunzi waishio na na
wasomao Bangalore - India (TASABA) unapenda
kuwaalika wanajumuiya wote na wazazi katika mahafali ya saba (7) ya wahitumu
katika fani ya diploma, stashahada ya kwanza na ya pili mnamo tarehe 6th April 2013, yatakayofanyika katika
ukumbi wa “COUNTRY CLUB” uliopo 55/1 Deevarbeesanahalli, Sarjapur Outer
Ring Road,Marathahalli,Banglore.
Wahitimu wapatao 45 wanatarajiwa
kuhitumu siku hiyo katika fani mbalimbali. Tunategemea kuwa Mheshimiwa balozi, ENG. JOHN W.H. KIJAZI, Atakuwa
mgeni rasmi katika mahafali haya. Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana
na uongozi kwa namba zifuatazo;
+918197161413
– Mwenyekiti wa jumuiya
·
+919742487082-
Mshauri mkuu wa jumuiya
·
+918884934829
- Makamu mwenyekiti wa jumuiya
Tunategemea
usirikiano wenu wa hali na mali katika
kufanikisha shughuli hii.
Wako,
Mr.
HENRY MNDEME
Mwenyekiti-TASABA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...