Home
Unlabelled
chemsha bongo: hapa ni wapi na barabara hii ni ya kutoka wapi kwenda wapi??
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hapo ni porini,inatoka mlimani inakwenda kukata kona.
ReplyDeleteHii ni barabara iendayo Tanga maeneo ya Hale
ReplyDeleteTABORA:Sheluhi-Tinde
ReplyDeleteHII NI BARABARA YA BAGAMOYO KWENDA MSATA NA HAPA NI KUTOKA MSATA KABLA HUJAFIKA KIWANGWA
ReplyDeletehiyo ni haiweii ya kutoka new york kuelekea washngton mtu asinibishie
ReplyDeleteHAPO NI KONA YA KUTOKA GUNGU KWENDA KIGOMA MJINI
ReplyDeletepIGA Overtake utajua hapo ni wapi?
ReplyDeleteHapa ni barabara ya kutoka Charlize kwenda Segera. Maeneo ya Tanga.
ReplyDeleteHapa ni msata barabara ya kutoka bagamoyo kwenda msata
ReplyDeleteHapa ni Ilula, na hii ni barabara ya kutoka Dar kwenda Zambia.
ReplyDeleteBabati - Singida
ReplyDeleteHapo UBUNGO
ReplyDeleteBarabara ya kutoka UBUNGO stesheni kuelekea KARIAKOO
kwa utafiti wa maoni hakuna haliyepata wote wanataja njia za kwenda kwao. NGOJA nikupe jibu hapo uncle ni .................... nitumie buku nikunongonezeeeeeee. kifupi watu hatujui bara2 tunaja kuzipita2.
ReplyDeletemajibu ya swali hili ni mengi; aliyeleta swali alete alama zaidi ili tubaini lipi ni lipi. Naona kuna nguzo za umeme kushoto huenda zinatoka bwawa la mtera kwenda Dar. Yawezekana pakawa ni njia kati ya chalinze na morogoro!
ReplyDeleteHapa ni maeneo ya iringa
ReplyDeleteiringa
ReplyDeleteMbeya mjini kuelejea tunduma,mitaa ya Songwe
ReplyDeletemheshimiwa michuzi ingekuwa ww umeulizwa swali kama hilo ktk picha kama hiyo ungeweza kujibu??????maana hamna alama yoyote then unauliza swali ambalo halina zawadi kama mtu akishinda.
ReplyDeleteHapo panaweza kuwa popote nchini na nje ya nchi maana mandhari hiyo inapatikana sehemu yoyote duniani.
Wote Mmekosaaa...
ReplyDeletehapo ni salenda bridge .. Al-hasani Mwinyi road
ReplyDeleteblogger tunaomba jibu haraka sielewi barabara nyingi sijasoma uclas mie
ReplyDeleteNi swali zuri sana -
ReplyDeleteInaonekana hiki ni kipande cha mojawapo ya barabara zilizojengwa hivi karibuni hapa nchini.....lakini sasa shaka yangu, ikiwa huu ni ukarabati wa kipande kidogo cha barabara mojawapo ya zamani kilichokarabatiwa hivi karibuni swali linakuwa gumu zaidi....nadhani Ankal "tuumpe mji" atatue hiki kitendawili.....mimi sasa nampa mji, "Kanyigo"
Hapo ni Tanzania nchi tajiri kwa kila kitu lakini watu wake maskini na wavivu, bisha!
ReplyDeleteMsata kwenda Bagamoyo
ReplyDeletesegera,na ni kuelekea tanga
ReplyDeleteHapo ni Tanzania.
ReplyDeleteHii ni Barabara ya Singida kwenda Tabora.Hapo ni eneo la Iguguno-Singida
ReplyDeleteHii ni Barabara ya kutoka Singida kwenda Tabora. Na hapo ni maeneo ya Iguguno - Singida
ReplyDeleteHapa ni barabara ya kwedna bagamoyo kabla ya kufika baobab tree secondary school
ReplyDeleteTanga kuelekea horohoro
ReplyDeletechalinze segera, after chalinze mzee
ReplyDeleteHapo ni mpakani mwa mkoa wa Pwani na Tanga. Na hich kibao pemebeni kinakuaga karibu tena Tanga. Je kuna zawadi? Maana mimi nina uhakika napita sana hapo.
ReplyDeleteBarabara ya morogoro Dodoma kueleke Gairo. Nipeni mji nimeshinda.,
ReplyDeleteJamani hii ni barabara ya kwenda Kigoma maeneo ya kati ya Kazuramimba na Malagarasi wapo Wakorea wanafanya vitu vyao, mbele kuna daraja la malagarasi.
ReplyDeleteKutoka mbeya kwenda sumbawanga
ReplyDeletekipande cha Tarime Musoma kabla hujafika njia panda ya musoma mwanza.
ReplyDeleteBarabara ya Dar - Tunduma (TANZAM Highway) karibu na ilipo mitambo ya kusukuma mafuta bomba la mafuta kwenda Zambia na hapo kwenye kona ni eneo pamejengwa Kumbukumbu ya askari wa Kijerumani aliyeuawa na Jeshi la Shujaa Mkwawa na pana josho la kwanza kujengwa na mkoloni Ni kipande cha barabara kati ya Ilula na Iringa Mjini.
ReplyDeletekutoka segera kuelekea muheza, Tanga
ReplyDeleteMkeka wa kweli ila hapa si tz
ReplyDeleteha ha ha hapa ni barabara ya kutoka mlima kitonga kabla ya ipogoro njia panda ya kwenda iringa mjini
ReplyDeleteHAPO NI BARABARA KUTOKA MBEYA,BAADA YA MLIMA KITONGO KUELEKEA IRINGA.
ReplyDeletehii in barabara ya kwenda mtwara .
ReplyDeletehii ni barabara ya ulokole kuelekea mbinguni
ReplyDeleteHII NI BARABARA YA MARANGU HOSPITAL KUELEKEA MOCHUARI YA WANAUME .
ReplyDeleteHII NI NJIA YA KUTOKA DUNIANI KWENDA AHERA.
ReplyDeleteBarabara hiyo inatoka inakotoka; inakwenda inakokwenda!
ReplyDeleteHii ni baranare inatoka mbeya kwenda tukuyu.
ReplyDeletehii ni barabara ya dar es sa laam to zanzibar yenyewe inapita chini ya bahari
ReplyDeleteCase closed: Barabara hiyo inatoka inakotoka; inakwenda inakokwenda!
ReplyDeleteCASE CLOSED!