Home
Unlabelled
mambo ya lugha iliyokuja kwa meli
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ndio mazao ya elimu yetu ya kuzarau kiingereza na kukazania kiswahili. Na hawa wanaoandika hivi ndio international celebrities wetu!
ReplyDeleteWakizungumza kila baada ya neno utawasikia "as in..." "as in...." na huko uswahilini wanaonekana ndio wataalam wa lugha hii ya kigeni!
kuacha hayo makosa mengine, mtu unaweza kuwa na 'perfect script with a perfect story'?
ReplyDeleteKingereza siyo kila kitu. Kwani wajerumani na wachina wanajua kingereza? Mi ninacoona ni upeo mdogo tu kwani huyu mtu hata angeandika kiswahili ingekuwa vilevile.... Ni mfumo wa Elimu kwani hata mimi nina tabu sana kufanya kazi na wahandisi wageni wanaoajiriwa...Mnaweza kuwa na timu ya watu 10 lakini mnaotambua mnalotakiwa kufanya ni wawili tu na wengine wote wate wanahitaji kuelekezwa kila kitu
ReplyDeleteThe word "BE SURE TO HAVE YOUR APPLICATION FORM" duhhh full kuchemka.
ReplyDeleteHa ha hapa ukienda hata hiyo intervew haitakuwa ya nguvu kwa hiyo kushinda ni kama kusukuma mlevi mtoni. Na hizo kazi cjui itakuwa vip maana ni kasheshe 2pu. Heading is Kinondoni hii ni mbele la Kinondoni ama ndio nini.
ReplyDeleteAandike tu kiswahili. Si lazima kingereza. Kama mdau aliyepita hapo juu Ukienda kusoma au kutembea ujerumani WANATHAMINI utajifunza Kijerumani, China-Kichina n.k. WANATHAMINI NA KUZITUKUZA LUGHA ZAO.
ReplyDeleteNi kweli kiingereza sio kila kitu. Kwani waliambiwa waandikie kiingereza:
ReplyDeleteHii ya kusema wachina na wajerumani, kiingereza sio lugha yao huwa inaniacha hoi. Hatuwezi kulingana nao kwasababu wao wanatumia lugha yao mpaka chuo kikuu. Kwahio kwao Kiingereza sio muhimu.
Huku kwetu msomi anapimwa kwa kiingereza chake. Hujui kiingereza ni kwasababu shule haijapanda. Waliosoma vizuri wote wanakijua. Ni miaka hii ya karibuni tu kwasababu tumeshindwa kuthamini elimu ndio maana kiingereza nacho kimeshuka.
Nasisitiza kuwa kama kiingereza hakipandi si angetumia Kiswahili, lugha yetu ya Taifa?