Mrurugenzi Mkuu wa Travelport Tanzania,Eliasaph Mathew akizungumza mapema leo asubuhi wakati akifungua warsha ya uzinduzi wa huduma mpya ya "free* mobile travel itinerary app for iPhone and Android" inayomuwezesha mteja kupata huduma ya kununua tiketi ya ndege kwa kutumia simu ya mkononi.Warsha hiyo imefanyika leo kwenye ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya JB Belmont,Benjamin Mkapa Towers jijini Dar es Salaam.
Ofisa Mipango wa Kampuni ya Travelport Tanzania,Robert Maina akiwasilisha mada kwa wadau  na Mawakala wa kuuza tiketi za Ndege nchini wakati wa warsha iliyofanyika leo kwenye ukumbi wa Hoteli ya JB Belmont Jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Kitengo cha Mafunzo wa Travelport Tanzania,Rehema Issa akitoa mafunzo kwa Wadau na Mawakala wa kuuza tiketi za Ndege nchini juu ya huduma mpya ya "free* mobile travel itinerary app for iPhone and Android" iliyozinduliwa leo kwenye ukumbi wa Hoteli ya JB Belmont Jijini Dar es Salaam.
MC wa Shughuli hiyo,Khadija Kellow akionyesha moja ya vipengele vya huduma hiyo mpya kwenye tangazo lililokuwepo kwenye ukumbi huo.
Katibu wa Chama cha TASOTA,Shamim Kermali akitoa neno kutoka kwenye chama hicho.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...