Ebou Shatry Chief wa Swahilivilla blog, anaawasa watanzania wakubaliane na changamoto. Waache kulalamika "Watu wananizibia riziki". Zaidi anawaomba watanzania wawe kitu kimoja
 wapendane na kushirikiana, kama zilivyo jamii za mataifa mengine Ughaibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 09, 2013

    si kweli kwamba mwenyezimungu anaangalia tunapokwenda na si tulipotoka,hiyo ni sifa ya kibinaadamu.mwenyezimungu si tu kwamba anaangalia tulipotoka,tulipo na tunapokwenda bali pia ana sifa ya kujua,yaliyopita,yaliyopo na yatakayokuwepo. na kama yasiyokuwepo yangekuwepo basi pia anajua hayo yasiyekuwepo jinsi gani yangekuwa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...