Waziri wa ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli amekagua ujenzi wa barabara ya Ndundu Somanga yenye kilomita 65 itakayogharimu Shilingi bilioni 58.8 na kuagiza ifikapo Desember 30 mwaka huu mkandarasi wa barabara hiyo asipomaliza kazi afukuzwe na Asipewe kazi nyingine yeyote hapa nchini hata ikiwa ya kufagia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 19, 2013

    Our President 2015

    ReplyDelete
  2. hivi magufuli mapombeee nampenda sanaa anaongea ukweli sio siasa kama wabunge wetu wa nyama vyotee hapa nchini

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 20, 2013

    Big up Magufuli.
    Tungekua na mawaziri watano kama wewe Tanzania tungekua mbali.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 20, 2013

    Dr. Magufuli Mungu akulinde milele for una uchungu na nchi yako.

    ReplyDelete
  5. unazchosema ginfizz ni sahihi kabisa.Mimi binafsi huyu kiongozi ananifurahisha sana na nampenda zaidi kwa sababu hana ule ujinga wa wanasiasa wengi wanaodhani wanamchi ni wajinga.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 20, 2013

    Kwa nini usiwe presider wetu 2015 mh Magufuli ili ushughulikie na watu wengine ndani ya govt?

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 20, 2013

    Tatizo huyo mkandarasi hakupewa pesa yote imekatwakatwa juu kwa juu unategemea atajenga vipi hiyo barabara.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...