Kipindi chako ukipendacho cha Kijiwe cha Ughaibuni kitaanza kurushwa tena kuanzia Jumanne wiki ijayo July 23, 2013 kipindi hiki kilisimama kutokana na pilikapilika ya sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo na tamasha la utamaduni wa Kiswahili Marekani. Vijimambo inaomba radhi kwa wadau na masahabiki wa kijiwe cha ughaibuni kwa usumbufu wowote uliojitokeza kwa kutorusha kipindi hiki.
 Juu na chini ni kruu nzima ya kijiwe ikitafakari jambo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 16, 2013

    Ankal hawa watu wameeeechooooka kama wapo tandale uwanja wa fisi!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...