Wanamuziki wa Diamond Musica wakiwajibika jukwaani.
Wanamuziki wa Five Star wakiwajibika stejini.
Didi Namba wa Diamond Musica akiimba.
Wanenguaji wa Diamond wakionyesha umahiri wao wa kunengua.
Ally J wa Five Star akifanya mambo stejini.
Baadhi ya mashabiki wakiserebuka.
Mashabiki wakilishana keki kwa upendo.
Husna Semhando akionyesha umahiri wake wa kunengua.
BENDI ya Diamond Musica na Five Star Modern Taarab usiku wa kuamkia leo ziliwapagawisha vilivyo mashabiki waliohudhuria katika onyesho la pamoja lililofanyika ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live, uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam.
(PICHA ZOTE ISSA MNALLY NA RICHARD BUKOS / GPL)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...