Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamau wa Rais - Mazingira,Mh. Dkt Terezya Huvisa akitia sahihi katika kitabu cha wageni wakati wa ziara yake katika Mkoa wa Pwani,Wilani Rufiji.katikati ni Mkuu wa wilaya ya Rufiji Bwana Babu na kulia ni mwenyekiti wa ccm wilaya.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamau wa Rais - Mazingira,Mh. Dkt Terezya Huvisa akiwa ndani ya boti wakati akitembelea Delta ya Rufiji kujionea uharibu wa mazingira wa ukataji wa mikoko,katika ziara yake mkoani Pwani.
Mkuu wa Wilya ya Rufiji,Mh. Nurdin Babu, akizungumza na wananchi wa kitongoji cha Bunwa katika wilaya ya Rufiji.
uharibifu wa mazingira uliofanywa na wafugaji na wakulima katika bonde la mto rufiji
juu ya suala la usafi wa mazingira.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...