Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani, DCP Mohamed Mpinga akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma itakayowawezesha wateja wa Airtel kulipia ada za leseni ya magari kupitia huduma ya Airtel money pichani kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Malipo ya Kodi na Elimu TRA Mrs. Diana Masalla (kulia) Mkurugenzi wa kitengo cha huduma kwa wateja Airtel Adriana Lyamba.
Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Malipo ya Kodi na Elimu TRA Mrs.Diana Masalla (wa pili kushoto) akifatiwa na Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani, DCP Mohamed Mpinga na Mkurugenzi wa kitengo cha huduma kwa wateja Airtel Adriana Lyamba kwa pamoja wakizindua huduma itakayowawezesha wateja wa Airtel kulipia ada za leseni ya magari kupitia huduma ya Airtel money wakishuhudia kulia ni meneja kitengo cha Airtel money John Ndunguru , mwisho kushoto ni mwakilishi wa max malipo Tumsifu Lema.
Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Malipo ya Kodi na Elimu TRA Mrs.Diana Masalla (wa pili kushoto) akifatiwa na Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani, kwa pamoja wakizindua huduma itakayowawezesha wateja wa Airtel kulipia ada za leseni ya magari kupitia huduma ya Airtel money.

BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Once Again! Mohamed Mpinga sio ASP ni DCP, nyie waandishi vipi?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...