Nshoma Hostel ni Hostel mpya Kabisa na ya kisasa iliyofunguliwa hivi karibuni huko Gongo la Mboto,Jijini Dar es Salaam katika barabara ya Kuelekea Moshi Bar.ni Hostel yenye uwezo mkubwa wa kuchukua wanafunzi wengi kwa wakati mmoja.Hostel hii ipo karibu kabisa na Chuo Kikuu cha Kiataifa cha Kampala kilichopo Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam.

Kwa wale wahitaji wa Hostel
Mawasiliano ni haya hapa chini
+255 717 140 095 au +255 769 074 201 
Pia wanaweza kuwasiliana na Mkurugenzi Mkuu wa Hostel hiyo kwa namba hizi
+255 754 595 901 au +255 784 495 901

Nyote mnakaribishwa.

 Sehemu ya Upande wa Hostel hiyo.
 Sehemu ya Mapokezi.
 Muonekano wa Baadhi ya Vyumba vya Hostel hiyo,vyote vikiwa ni self Contain. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. FANYA FASTA TUJUZE BEI KWA MWEZI....HUU NI UKOMBOZI

    ReplyDelete
  2. 50,000 kwa mwezi kwa mtu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...