Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Ankal umesahau kutuwekea ile ngoma ya Balisidya.

    ReplyDelete
  2. uchafu michu tusipowafundisha wabongo kutunza mazingira ni kiama

    ReplyDelete
  3. Hongera mnyambala! Kazi nzuri, ninaamini hata wanaobeba mabox ko kote duniani wanaanza kutamani kurudi nyumbani. Hebu tukubali, Bongo inabadilika, inakwenda na wakati jamani looh!

    ReplyDelete
  4. Bongo inabadilika, lakini tatizo la tindikali na bastola za bodaboda linaendelea kufanya uamuzi wa kurudi nyumbani kuwa mgumu.

    ReplyDelete
  5. Duh kama Namibia!hahahahahaha hahahahaha

    ReplyDelete
  6. Barabara safi lakin wazziri husika bado una kazi maana standard yake hakuna vivuko waenda kwa miguu hamjawafikiria bodaboda nao kero jingine. Tenga sehemu hizo zote kupunguza ajali mungu saidia waja wako

    ReplyDelete
  7. hii barabara ya mwendo kasi sasa mbona raia wanavuka barabarani hamuoni kama hiyo ni hatari??? au ndo tuwalaumu kwa kuwa washaambiwa wasivuke? mi naona ni vyema barabara ikazibwa njia zote za miguu na raia wawekewe sehemu za kuvukia

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...