Ngoma ya Maquis du zaire ya 'Kiongo' ilikuwa balaa enzi hizo. Hapa MC Anko J Nyaisanga anakutambulishwa kwa mwagwiji kama vile Vumbi Kahanga Dekula, Kasaloo Kyanga, Kanku Kelly, Mafumu Bilali Bombenga, Adios, Audax na wengineo katika Chekechaaaaa....Asante sana Pablo Machine kwa kumbukumbu hii moto

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...