Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Katibu Mtendaji wa SADC
Dkt.Stergomena L.Tax,wakati alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi
kujitambulisha kwa Rais, baada ya kuteuliwa kushika wadhifa wake
huo.
ais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akiagana na Katibu Mtendaji wa SADC
Dkt.Stergomena L.Tax,wakati alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi
kujitambulisha kwa Rais, baada ya kuteuliwa kushika wadhifa wake
huo,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...