Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh. Celina O. Kombani (Mb) akizungumza katika hafla fupi na wanamichezo watakaiyoiwakilisha Utumishi katika mashindano ya SHIMIWI mwaka huu mapema.
Naibu Katibu Mkuu,Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. HAB Mkwizu akiwapa mbinu za kimichezo wanamichezo watakaoiwakilisha Utumishi katika mashindano ya SHIMIWI mwaka huu wakati wa hafla fupi ya kuwaaga mapema leo.
Baadhi ya wanamichezo wa Utumishi na viongozi wao wakimsikiliza Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh. Celina O. Kombani (Mb) wakati hafla fupi ya kuwaaga mapema leo.
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh. Celina O. Kombani (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na timu ya Utumishi itakayoshiriki michezo ya SHIMIWI mwaka huu mara baada ya hafla fupi kuwaaga mapema leo ofisini kwake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...