BENKI YA CRDB YAKABIDHI WODI YA AKINA MAMA NA WATOTO HOSPITALI YA BUGANDO, BAADA YA KUIFANYIA UKARABATI MKUBWA 
BENKI YA CRDB YAKABIDHI WODI YA AKINA MAMA NA WATOTO HOSPITALI YA BUGANDO, BAADA YA KUIFANYIA UKARABATI
 Hospitali ya Rufaa ya Bugando.
Baadhi ya wafanyakazi wa Hospitali ya Bugando pamoja na maofisa wa Benki ya CRDB wakiangalia uzinduzi wa zoezi la upandaji miti kuzunguka eneo la Hospitali ya Rufaa ya Bugando. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Evarist Ndikilo, Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (kulia) na Mkurugenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Bugando, Dk. Charles Majinge.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Evarist Ndikilo (kushoto) akiongoza zoezi la upandaji miti katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando jijini Mwanza. Katikati ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei na Mkurugenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Bugando, Dk. Charles Majinge.
 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Evarist Ndikilo (kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei wakimwagia maji miti ya kumbukumbu waliyopanda katika Hospitali ya Bugando. Katikati anayeshuhudia ni Meneja Uhusiano wa benki hiyo, Godwin Semunyu.
Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Saugata Bandyadhiyay akishiriki katika zoezi la kupanda miti.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Evarist Ndikilo (wa pili kulia), Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (kulia) wakipaka rangi wodi ya akina mama na watoto.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...