Katika kuhakikisha wigo wa Globu ya Jamii unaendelea kuwa mpana siku hadi siku,sasa hivi libeneke lako pendwa limefungua Ukurasa wake ndani ya Mtandano wa Kijamii wa Facebook,ambapo kwa wewe Mdau mpya ndani ya Mtandao huo utafika kwenye Ukurasa wetu na kubofya neno LIKE ili uweze kuungana nasi na utaendelea kupata mambo mbali mbali yanayoendelea kwenye Globu yako pendwa ya jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...