Naibu waziri wa Nishati na Madini Steven Masele akikata utepe kuzindua mabanda ya maonyesho ya madini ya kimataifa ya vito na usonara leo katika hoteli ya Mount meru jijini Arusha.
Naibu Waziri wa nishati na Madini Steven Masele akiwa katika moja ya banda la Maonyesho la Raia wa Kongo akikagua madini yanayoonyeshwa katika banda hilo.
Masele akikagua banda la kampuni ya GIA ya Afrika Kusini ambayo imekuwa ikihusika na kutoa elimu kuhusiana na madini katika nchi za Afrika.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini Steven Masele akielekea kutembelea mabanda ya maonyesho katika viwanja vya hoteli ya Mount meru, kulia kwake ni Mwenyekiti wa maandalizi ya maonyesho hayo, Peter Pereira 5Naibu Waziri wa Nishati na Madini Steven Masele akitoa hutuba yake ya ufunguzi wa maonyesho ya kimataifa ya madini na usonara yanayofanyika jijini Arusha katika hoteli ya Mount Meru leo.
Baadhi ya washiriki wa maonyesho ya madini ya kimataifa wakimsikiliza Naibu waziri wa Nishati na Madini Steven Masele (hayupo pichani), katika viwanja vya hoteli ya Mountmeru leo. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...