Rais Jakaya Kikwete akifunua kitambaa kwenye jiwe la msingi wakati akizindua kiwanda kipya cha chai cha Ikanga, Njombe, ikiwa ni sehemu ya sherehe za uzinduzi rasmi wa mkoa mpya wa Njombe Ijumaa Oktoba 18, 2013.Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mufindi Tea Company Group Bwana Noel Smith

Rais Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete wakisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mufindi Tea Company Group Bwana Noel Smith kabla ya kuzindua kiwanda kipya cha chai cha Ikanga, Njombe, ikiwa ni sehemu ya sherehe za uzinduzi rasmi wa mkoa mpya wa Njombe Ijumaa Oktoba 18, 2013.
Rais Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete wakikagua chai ikichambuliwa katika kiwanda cha chai cha Ikanga, Njombe, ikiwa ni sehemu ya sherehe za uzinduzi rasmi wa mkoa mpya wa Njombe Ijumaa Oktoba 18, 2013.
Rais Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete wakipata maelezo ya kiwanda kipya cha chai cha Ikanga, Njombe,kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mufindi Tea Company Group Bwana Noel Smith baada ya kukizindua ikiwa ni sehemu ya sherehe za uzinduzi rasmi wa mkoa mpya wa Njombe Ijumaa Oktoba 18, 2013.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...