Familia ya Marehemu Joseph B. Msoka wa Ukonga Kichangani Dar-es- salaam, inapenda kutoa shukrani za dhati kwa ndugu, jamaa na Marafiki mlioshiriki katika kumuuguza mpaka kumhifadhi mama yetu mpendwa Fortunata Joseph Msoka aliyeitwa na Mungu Jtano 18/09/2013. 

 Sio rahisi kumshukuru kila mmoja, ila shukrani za pekee ziwaendee madaktari na wauguzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Temeke, Mikumi na Rugambwa Dispensary Ukonga, Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Wizara ya Maliasili na Utalii - Wakala wa Huduma za misitu Tanzania. Daima tutakukumbuka.

 “Bwana alitoa na Bwana Ametwaa jina lake lihimidiwe Daima”

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...