Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kikao cha kamati ya Uongozi kinachoundwa na wenyeviti wote wa Kamati za Bunge Ofisini kwake Bungeni Dodoma kujadili shughuli zitakazokuwemo kwenye ratiba ya Mkutano wa 13 wa Bunge unaotarajia kuanza kesho tarehe 29 Oktoba, 2013. Picha na Owen Mwandumbya wa Bunge.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...