The University of Dar es Salaam Alumni Event has been rescheduled for Thursday 31 October 2013 at Diamond Jubilee VIP Hall from 5-7pm. 
Kindly confirm attendance through:
0752762645 or udsmalumni@gmail.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Asante kwa taarifa, ingawaje hotline number 0752762645 iliyowekwa hapo juu,kila ukipiga inaita bila majibu, sasa tutapataje habari zaidi kuhusu hii event muhimu kwa sisi tuliosoma hapo UDSM? je kuna kiingilio au hapana?, je ni kwa Alumni wote wa UD au department moja tu? je kuna taratibu gani nyingine? etc..Tafadhali mpokee hiyo simu!!

    ReplyDelete
  2. Daniel StephenOctober 27, 2013

    Event ni bure na ni kwa watu wote waliomaliza UDSM, karibuni sana!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...