Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Usiku maalum kwa wanandoa. Sasa ticket za SINGLE ni za nini?

    ReplyDelete
  2. Mdau hapo juu soma tangazo hilo vizuri limeandikwa: Usiku maalumu kwa WANANDOA wasasa na watarajiwa. Hao''watarajiwa'' ndiyo SINGLES, nadhani umeelewa

    ReplyDelete
  3. Umesahau kusema ktk kiingilio hicho kuna dinner or lunch ,drinks or bites

    ReplyDelete
  4. Mdau wa kwanza, mnapokuwa wawili hamuwezi kugandanishwa kwa Gundi.

    TICKET za SINGLE muhimu kwa kuwa wawili hamuwezi dakika zote mkawa pamoja muda wooote, inawezekana mmoja akawa na dharura labda amesafiri hivyo mmoja anaweza hudhuria akiwa peke yake!

    ReplyDelete
  5. Mdau wa Kwanza inawezekana mlifunga ndoa halafu ikatokea sintofahamu baina yenu, hivyo inawezekana ktk Kipindi ambacho hamjaachana ama kutengana mmoja akahudhuria kwenye Suala hili akiwa Single!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...