Baadhi
ya washiriki wa warsha ya pamoja kwa wadau wa sekta ya nishati wakimsikiliza
Katibu Mkuu wa wizara ya Nishati na Madini Eliakimu Maswi (hayupo pichani) wakati akifungua mkutano wa
saba uliofanyika leo katika Hoteli ya Hyatt Regency iliyopo jijini Dar es Salaam. Serikali
imekamilisha utafiti katika vituo 52 vya
kutoa umeme wa joto ardhi (geothermal) na ifikapo mwakani uchimbaji wa umeme
huo utaanza katika vituo vitatu vilivyopo katika mkoa wa Mbeya, wilaya ya
Rufiji na katika ziwa Natroni lililo mkoani Manyara.
Katibu
Mkuu wa wizara ya Nishati na Madini Eliakimu Maswi (kulia) akimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa
Wizara hiyo Eng. Ngosi Mwihava (katikati) wakati wa warsha ya pamoja ya siku
moja kwa wadau wa sekta ya nishati iliyofanyika leo katika Hoteli ya Hyatt
Regency iliyopo jijini Dar es Salaam. Kushoto
ni Kamishina wa masuala ya Nishati na Mafuta Eng. Hosea Mbise.
Washiriki wa warsha ya pamoja kwa wadau wa sekta ya nishati wakimsikiliza Katibu Mkuu wa wizara ya Nishati na Madini Eliakimu Maswi (hayupo pichani) wakati akifungua mkutano wa saba uliofanyika leo katika Hoteli ya Hyatt Regency iliyopo jijini Dar es Salaam.
Katibu
Mkuu wa wizara ya Nishati na Madini Eliakimu Maswi (kushoto) akiongea na Dk. Lennart Larsson (kulia)
mara baada ya ufunguzi wa farsha ya pamoja ya siku moja kwa wadau wa sekta ya
nishati iliyofanyika leo katika Hoteli ya Hyatt Regency iliyopo jijini Dar es Salaam.
Katibu
Mkuu wa wizara ya Nishati na Madini Eliakimu Maswi akifungua warsha ya pamoja kwa wadau wa sekta
ya nishati leo katika Hoteli ya Hyatt Regency
iliyopo jijini Dar es Salaam. Katika mkutano huo wa saba uliofanyika leo
katika Hoteli ya Hyatt Regency mambo
mbalimbali yalijadiliwa ikiwa ni pamoja na masuala ya mafuta, umeme na gesi.
Katibu
Mkuu wa wizara ya Nishati na Madini Eliakimu Maswi (kulia) akiongea jambo na
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Eng. Ngosi Mwihava wakati wa warsha ya pamoja kwa wadau wa sekta ya
nishati iliyofanyika leo katika Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam. Serikali
imekamilisha utafiti katika vituo 52 vya
kutoa umeme wa joto ardhi (geothermal) na ifikapo mwakani
SEKTA YA NISHATI:
ReplyDeleteHii ndio Sekta itakayo watoa kamasi KENYA, RWANDA na UGANDA na kuisoma namba za nyuma TANZANIA!
UN na Mashirikisho ya Maenddeleo inasema ya kuwa NCHI YEYOTE YA DUNIA ITAKAYOWEZA KUONGEZA UPATIKANAJI WA UMEME WA UHAKIKA KWA KILA 1.08% ITAENDELEA KWA 10% !
TUELEWE TANZANIA INA VYANZO VINGI MNO VYA NISHATI KTKT HII EAC KULIKO NCHI ZINGINE NA KWA WINGI MKUBWA KAMA:
-GEOTHERMAL (inayo zungumziwa hapa)
-URANIUM
-GAS LNG
-COAL
-SOLAR VAST SKIES
HIVYO NI PAMOJA NA SEKTA ZINGINE ZITAKAZO CHANGIA NI WAZI HAWA JAMAA WA 'COALITION OF THE WILLING' KWENYE HII EAC WANALIJUA HILI NDIO MAANA HAWAISHI VIKAO!