Mkuu wa mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi (wa pili kulia ) mwenyekiti wa bodi ya chuo cha serikali za mitaa Hombolo Ndg. Ramadhani Khalfan (kulia ) , meza kuu na halaiki yote iliohudhuria mahafali ya tano chuoni hapo wakiimba wimbo wa taifa tayari kuanza mahafali.
Mkuu wa mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi kwa mamlaka aliyopewa akitunuku astashahada na stashahada kwa jumla ya wahitimu 1331 walihitimu fani za utawala, usimamizi rasilimaliwatu, uhasibu na fedha na maendeleo ya jamii katika mamlaka ZA serikali za mitaa, katika chuo CHA serikali za mitaa hombolo jana, Mkuu wa Mkoa alifanya kazi hiyo kwa niaba ya Waziri wa TAMISEMI.
Baadhi ya wahitimu wakipongezana kwa furaha baada ya kumalizika kwa mahafali ya tano ya chuo CHA serikali za mitaa Hombolo.
PICHA ya pamoja Mkuu wa Mkoa, bodi ya chuo, uongozi wa chuo, wanataaluma na wwfanyakazi wa chuo CHA serikali za mitaa hombolo mud mfupi baada ya kumalizika kwa mahafali ya tano chuoni hapo.
Picha na Jeremiah Mwayoma, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...