Mashabiki wa Timu za Simba na Yanga wakichuana vikali katika mchezo wa mbio za magunia wakati wa muendelezo wa kampeni ya NANI MTANI JEMBE iliyofanyika katika viwanja vya Shule ya msingi Mkendo mjini Musoma leo jana.
Mashabiki wa timu za Yanga na Simba wakipambana katika mchezo wa kuvuta kamba kwenye bonanza la kampeni ya NANI MTANI JEMBE kupitia bia ya Kilimanjaro ambalo limefanyika jana katika viwanja vya Shule ya msingi Mkendo mjini Musoma.
Bendi ya Musoma Stars ikitumbuiza katika bonanza la kampeni ya NANI MTANI JEMBE kupitia bia ya Kilimanjaro lililofanyika jana kwenye viwanja vya Shule ya msingi Mkendo mjini Musoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Tafuteni michezo mingine, licha ya kukimbia maguniani na kuvutana kamba.

    Kwa mifano, kusafisha mazingira na kufagia mabarabara.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...