Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Arumeru Mashariki na
Naobu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Goodluck Ole
Mideye, Bungeni Mjini Dodoma Novemba 1, 2013.
Mbunge wa Mwibara, Kangi Lugola akichangia Bungeni Mjini Dodoma Novemba 1, 2013
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,
Mahusiano na Uratibu, Stephene Wasira (kushoto), Waziri wa Nchi, Ofisi
ya Waziri Mkuu, Bunge na Uratibu, William Lukuvi (wapili kulia) na
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mathayo David Mathayo, Bungeni
Mjini Dodoma Novemba 1, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...