Mheshimiwa Nyambari Chacha Mariba Nyangwine, Mbunge wa Tarime leo hii akiwa jijini London alipata nafasi ya kuwatembelea wazee wa kaze Serengeti katika ofisi zao zilizopo Tilbury
Mheshimiwa pia alipata nafasi ya kujionea shughuli mbali mbali zinazofanywa na Kampuni ya Serengeti ikiwa ni pamoja na ukaguzi wa magari
MHE. NYAMBARI CHACHA MARIBA NYANGWINE AKIWA KWENYE BANDA LA TANZANIA NA CHRIS LUKOSI PAMOJA NA DAVID MUNANKA.
MHESHIMIWA NYAMBARI NDANI YA SERENGETI
UKAGUZI WA MAGARI



.jpg)
.jpg)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...