Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwa katika picha ya pamoja ya wake wa Wakuu wa Nchi za Jumuia ya Madola wanaokutana Colombo nchini Sri lanka pamoja na vijana wanaowakilisha mataifa hayo  mara baada ya ufunguzi rasmi uliofanywa na Prince Charles kwa niaba ya Malkia Elizabeth II kwenye ukumbi wa Nelum Pokuna Mahinda Rajapaksa, ulioko mjini Colombo, nchini Sri lanka leo tarehe 15.11.2013.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwa katika picha ya pamoja ya wake wa Wakuu wa Nchi za Jumuia ya Madola wanaokutana Colombo nchini Sri lanka mara baada ya ufunguzi rasmi uliofanywa na Prince Charles kwa niaba ya Malkia Elizabeth II kwenye ukumbi wa Nelum Pokuna Mahinda Rajapaksa, ulioko mjini Colombo, nchini Sri lanka leo tarehe 15.11.2013. Picha na John Lukuwi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Mlete karibu kwenye picha tumuone alivyopendeza mama yetu.

    ReplyDelete
  2. HAPO KUNA DUME LIMEPIGA SUTI NYEUSI NI MKE WA RAISI GANI?

    ReplyDelete
  3. Wala usipate shida wewe angalia vichwa tu utamuona.

    ReplyDelete
  4. Mashaa Allah Mama Salma kapendeza kuliko wooooooooooooooooooooote.

    ReplyDelete
  5. Swali, na huyo wa tatu toka kushoto ni.. wa rais. Mama Salma anapendeza sana kila siku.

    ReplyDelete
  6. macho yangu hayaoni, hivi wote hawa ni wake wa wakuu wa nchi, watatu toka kushoto ilikuwaje awe kwemye picha hii?

    ReplyDelete
  7. Yule jamaa pale anawakilisha nini ? Wale ni wake wa maraisi sasa mbona anaweka doa ? Mchuzi toa picha hiyo weka nyingine kwa the same message laasivyo ongeza maneno umtambulishe huyo jamaa ! ATAKUELEWA.

    ReplyDelete
  8. Ina maana ni picha ya partners au other halves ya marais. Sijui interpretation yake kwa kiswahili ila namba Tatum toka kushoto ina maana mkewe ndio raisi. Maybe kichwa change habari kingekuwa wake / waume za marais

    ReplyDelete
  9. Mama yetu umependeza sana MAshaALLAh

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...