Mkuu  wa  mkoa  wa Iringa Dr Christine Ishengoma akifungua mkutano wa  siku ya  ya  wadau   mfuko wa bima ya afya mkoa  wa Iringa kutoka  kushoto ni kaimu mkurugenzi wa NHIF Khamis Mdee,mwenyekiti wa bodi ya NHIF  balozi Ali Mchumo  na kulia ni kaimu ras Bw Mwasumile na mkuu wa wilaya ya Mufindi Evarista Kalalu
Mkuu  wa  mkoa  wa Iringa Dr Christine Ishengoma wa tatu kushoto waliokaa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi  mbali mbali mara baada ya kufungua mkutano wa  siku ya  ya  wadau   mfuko wa bima ya afya mkoa  wa Iringa kutoka  kushoto ni kaimu mkurugenzi wa NHIF Khamis Mdee,mwenyekiti wa bodi ya NHIF  balozi Ali Mchumo  na kulia ni kaimu ras Bw Mwasumile na mkuu wa wilaya ya Mufindi Evarista Kalalu
Viongozi  wa  kitaifa na mkoa  wa Iringa  waliokaa  wakiwa katika picha ya pamoja na  wadau  wa mfuko wa bima ya afya mkoa  wa Iringa leo.PICHA NA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA.    

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...