Meneja Huduma kwa Mlipa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Allan Joseph Kiula, akipata maelezo kuhusu bidhaa na huduma zinazotolewa na benki ya NMB kutoka kwa Afisa wa NMB, Adamu Karazani (kushoto) alipotembelea banda la NMB katika maonyesho ya wiki ya mlipa kodi yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja. Wengine kutoka kulia ni maofisa wa NMB Edith Mavura na Exvaria Mapunda.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...