Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha na Mkuu wa Wilaya ya  Monduli  Mhe Jowika Kasunga akifungua semina ya siku moja ya maadhimisho ya miaka 10 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwenye hotel ya Naura Springs jijini Arusha
 Meneja wa Kanda ya Kaskazini wa TCRA injinia Aneth Matindi  akisoma taarifa ya mamlaka hiyo mbele ya waalikwa walioshiriki semina hiyo iliyoenda sambamba na maadhimisho ya miaka kumi ya mamlaka hiyo  kwenye hotel ya Naura Springs jijini Arusha.
  Washiriki wa semina ya siku moja ya maadhimisho ya miaka 10 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwenye hotel ya Naura Springs jijini Arusha
 Wadau katika  semina ya siku moja ya maadhimisho ya miaka 10 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwenye hotel ya Naura Springs jijini Arusha
Picha ya pamoja ya wadau wa mawasiliano wakiwa na mgeni rasmi MheJowika kasunga na Meneja wa mamlaka hiyo kanda ya kaskazini injinia Aneth Matindi Picha zote na Mahmoud Ahmad wa Globu ya Jamii, Arusha

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...