Baadhi ya wadau waliohudhuria mkuatano huo wakifuatilia mada mbalimbali zilizowakilishwa katika mkutano wa wadau wa mfuko wa taifa wa bima ya afya mkoa wa arusha tarehe 8/11/2013

Baadhi ya viongozi wa mkoa na wilaya waliohudhuria mkutano wa wadau wa mfuko wa bima ya afya mkoa wa Arusha tarehe 8/11/2013.

Dr.Peter Nyakubega akiwa katika zoezi la upimaji afya katika siku ya wadau wa NHIF iliyofanyika tarehe 8/11/2013 mjini Arusha.

Mgeni rasmi Mhe. Mkuu wa mkoa wa Arusha akiwa na baadhi ya viongozi wa mkoa wa Arusha (RAS,Mama Itanisa,RMO Dr. Mokiti ) Wakurugenzi wa NHIFna baadhi ya watumishi wa ofisi ya NHIF mkoa wa Arusha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...