Pichani upange wa kulia ni Mnyama aina ya Palahala (jamii ya Swala) akila majani sambamba na Ndege aina ya Mbuni kama walivyonaswa na Kamera ya Globu ya Jamii katika Hifadhi ya Asili ya Simba na Kifaru,iliopo kwenye mji wa Gauteng nje kidogo ya Jiji la Johannesburg,nchini Afrika Kusini.Hii ni kazi nzuri inayofanya na Bodi ya Utalii nchini humu,kwa hata wanyama pia wanapendana. 
Swala wa Afrika Kusini 
Twiga.
Pundamilia na Swala.
Palahala na Pembe zake Mwanana.
Nyumbu a.k.a Msosi wa Simba.
Mbuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Asante sana kwa Picha blog ya jamiii.Mlijaribu kuwauliza wahusika kwanini hao TOPI (picha pili kutoka juu)wamekonda kiasi hicho?Nadra sana kuwakuta wamekonda kiasi hicho.

    David V

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...