Tamasha la 11 la AZAKI limemalizika rasmi usiku wa kuamkia leo kwa dhifa ya utoaji tuzo kwa AZAKI Bora, iliyofanyika katika Hoteli ya Blue Pearl, Ubungo Plaza, jiji Dar es Salaa ambapo mgeni rasmi ni Naibu Waziri, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu.
Kushoto ni Mh. Ummy Mwalimu( Naibu Waziri, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto ) Akikabidhi Tuzo kwa Mwakilishi wa Jumuiya ya kuelimisha Athari za Madawa ya Kulevya UKIMWI na Mimba Katika Umri Mdogo  Ya Pemba- Mshindi, Asasi Bora 2013
Mh. Ummy Mwalimu( Naibu Waziri, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto) na Dk. Stigmata Tenga- Rais wa FCS, katika picha ya pamoja na ashindi. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...