Ujumbe wa benki ya dunia (WB) kutoka ofisi ya kanda ya Afrika Mashariki ukiongozwa na Mkuu wa miradi ya sekta ya usafirishaji Eng. Solomon Waithaka wa pili kulia leo umetembelea TPA kukagua miradi inayofadhiliwa na benki hiyo. Wengine kwenye picha ni Eng. A. Matei Naibu Mkurugenzi Mkuu - TPA katikati na kulia kwake ni Ndg. Phares Magesa Mkurugenzi wa ICT - TPA na Kiongozi Msimamizi wa miradi ya WB, na wa kwanza kulia ni Ndg. Suluo Mratibu wa miradi hiyo kwa sekta ya usafirishaji na wengine ni wakuu mbali mbali wa vitengo TPA.
Kwa ujumla benki imeridhishwa na maendeleo ya miradi hiyo.
Miradi inayofadhiliwa na WB na wadau wake katika Mamlaka ya Bandari ni:
I. Integrated security system( ISS)
II.electronic Single Window System(eSWS)
Iii.Port security Training (ISPS )
Iv. Mradi wa Patrol boats
Kwa ujumla benki imeridhishwa na maendeleo ya miradi hiyo.
Miradi inayofadhiliwa na WB na wadau wake katika Mamlaka ya Bandari ni:
I. Integrated security system( ISS)
II.electronic Single Window System(eSWS)
Iii.Port security Training (ISPS )
Iv. Mradi wa Patrol boats
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...