Ankal akiwa na wacheza ngoma za utamaduni aina ya 'Ves' wa Sri Lanka jijini Colombo katika mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola (CHOGM). Wacheza ngoma hawa hujulikana kama Kandyan, ambapo mavazi yao yana aina  64 ya urembo. Huchukua miaka kadhaa kabla ya mtu kufuzu kuitwa mcheza  Ves.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Ankali kazi unayo!

    Je, utaishia wewe kufundishwa kucheza ngoma zao tu?

    Na wewe Ankal ulitakiwa uvue hiyo suti yako pia ktk begi lako la Laptop ilikuwa uweke vifaa usafiri na Kaniki ya kuvaa kiunoni, ngozi ya mbuzi, mkia wa ng'ombe na mapembe ya mbuzi ili uwafundishe kucheza Lizombe na Tokomile ngoma za Tanzania!!!

    ReplyDelete
  2. Ankal hawa jamaa wa kushoto na kulia
    sio wale akina Henriko na Roy wa hapa chang'ombe ? wamefanana watu wawili wawili kweli

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...