Maandalizi ya uzinduzi wa huduma za UmojaSwitch ATM na Benki ya Ushirika ya Kilimanjaro iliyopo Moshi mjini.

Mama Makwabe ambaye ni Meneja Mtendaji akifungua sherehe za uzinduzi wa huduma za UmojaSwitch ATM. Pembeni ni viongozi wa Bodi ya benki hiyo waliofika kuadhimisha uzinduzi huo wa huduma za UmojaSwitch ATM na UmojaSwitch mobile banking.

Mwenyekiti wa bodi ya benki ya ushirika ya Kilimanjaro akifungua rasmi UmojaSwitch ATM .

Mwakilishi toka UmojaSwitch Bw.Uswege Mwaipyana(Meneja wa operesheni) akitoa hotuba fupi kuhusu mtandao na ushirikiano wa UmojaSwitch na mabenki hapa nchini, kushoto kwake ni Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mh Leonidas Gama.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Uswege on the move.... go on brother.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...