Haya sasa mabingwa woote WA AIRTEL BINGWA kula bata pamoja wikiendi hii Mbagalaaaaaa Kama wewe ni bingwa wa kusakata kabumbu na kuonyesha umahili wa kumiliki mpira njoo KESHO tuonyeshe Jumamosi hii MBAGALA ZAKHIEM kuanzia saa sita mchana mpaka saa 12 na nusu…..zawadi kibao kutolewa jezi, tisheti, N.K.………. 
 On stage atakuwa wasanii huku atakuwa Ney wa Mitego pande ya huku atakuwapo Young killer bila kuwasahau Vinoko shackers ndani, Piaaaa wadada kumi wazuriii watachuana kupiga dana dana live. Huku tukishuhudia draw ya Mimi Bingwa watu wanavyojishindia mamilioni na ticket ya kwenda old Trafford kuangalia live mechi za Man U bureee 
 Kama haitoishi Sasa screen kubwa ya ukubwa zaidi ya mita 4 itaonyesha live mchezo wa Man u na Newcastle united Kiingilio ni BUREEEEE 
 Bata hili linaletwa kwenu na Airtel kupitia Promotion ya Mimi ni bingwa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...