Ankal akiwa mbele ya sanamu kubwa ya shaba ya Mzee Madiba katika Mandela Square Sandton City jijini Johannesburg Julai 2010.
Ankal akiwa katika sebule ya nyumba ya Mzee Madiba huko Soweto alikotembelea hio Julai 2010 kumuenzi shujaa huyu wa Afrika ambaye anamtaja kuwa ni mtu aliyempenda na kumheshimu kwa kuwa mfano wa kuigwa na binadamu yeyote, hasa kwa sera yake ya YALIYOPITA SI NDWELE, TUGANGE YAJAYO iliyomuwezesha kufanya watu wa Afrika Kusini kusahau chuki iliyokuwepo kati ya weupe na weusi na kujenga taifa moja kwa moyo mmoja bila kubaguana.
MOLA AIWEKE MAHALA PEMA 
PEPONI ROHO YA MZEE MADIBA
AMIN

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...